LIKE UKURASA HUU KWA HABARI ZAIDI

Powered By Blogger Widgets


.

Thursday, October 6, 2016

HUYU NDIO SCORPIONI MTOBOA MACHO WA BUGURUNI AKIWA MAHAKAMANI







 

Pichani : Scorpion, mwenye fulana nyekundu, akiwa mahakamani leo chini ya ulinzi mkali wa polisi.
Leo katika mahakama ya wilaya ya Ilala, mkazi wa buguruni kwa mnyamani anayetuhumiwa kuwachoma watu visu na kisha kuwatoboa macho, Salum Henjewele maarufu kama Scorpion amepandishwa kizimbani na kusomewa tena shtaka la unyang’anyi wa kutumia silaha .
Kesi ya Scorpion, ambaye alikamatwa baada ya kumchoma visu na kisha kumtoboa macho, Said Ally mkazi wa mabibo Hostel, inasikilizwa na hakimu Adolf Sachore.Leo kesi hiyo ilipangwa kwa ajili ya kutajwa na upande wa mashtaka umeieleza mahakama kuwa upepelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika na hivyo mtuhumiwa amerudishwa rumande



SHARE HII HABARI NA RAFIKI ZAKO:
Technorati Digg This Stumble Stumble Facebook Twitter
UPDATE YOUR DAY FOR THE BEST NEWS.

0 comments:

Post a Comment

 

The Best new logo

ADVERTISE HERE

NDEGE TAUSI

| THE BEST © 2013. All Rights Reserved | Template Style by The Best | Design and coded by 0754893991 | Back To Top |