LIKE UKURASA HUU KWA HABARI ZAIDI

Powered By Blogger Widgets


.

Thursday, October 6, 2016

Hii ndo Sababu Inayomfanya Mwanamuziki Diamond Asishiriki Fiesta 2016.


Hatimaye Diamond ametoa sababu ya kutopanda jukwaa la fiesta 2016,Akihojiwa na kipindi cha jahazi cha clouds fm Diamond amesema kuwa ndoa (mkataba) yake na Kampuni ya Simu ya Vodacom ndio sababu inayomfanya asishiriki Fiesta mwaka huu...
Wadhamini wakuu wa Fiesta ni Tigo hivyo kufanya hivyo kungeleta mgongano wa maslahii....


SHARE HII HABARI NA RAFIKI ZAKO:
Technorati Digg This Stumble Stumble Facebook Twitter
UPDATE YOUR DAY FOR THE BEST NEWS.

0 comments:

Post a Comment

 

The Best new logo

ADVERTISE HERE

NDEGE TAUSI

| THE BEST © 2013. All Rights Reserved | Template Style by The Best | Design and coded by 0754893991 | Back To Top |