LIKE UKURASA HUU KWA HABARI ZAIDI

Powered By Blogger Widgets


.

Sunday, July 12, 2015

MEEK MILL AKANA KUMUIBA NICKI MINAJ......!!!!


 
 Rapa Meek Mill.
New York Marekani
RAPA Meek Mill ameamua kufunguka kuwa hakumuiba mpenzi wake wa sasa, Nicki Minaj kutoka kwa mpenzi wake wa zamani, Safaree Samuels ambaye alidumu na Minaj kwa miaka 12.
 
Rapa Meek Mill akiwa na mpenzi wake Nick Minaj.
“Awali, sikuwa na mipango na Nick kabisa, uhusiano wetu umetokea tu na wala sihusiki katika kuvunjika kwa penzi lake na mpenzi wake wa zamani,” alisema Meek.
SHARE HII HABARI NA RAFIKI ZAKO:
Technorati Digg This Stumble Stumble Facebook Twitter
UPDATE YOUR DAY FOR THE BEST NEWS.

0 comments:

Post a Comment

 

The Best new logo

ADVERTISE HERE

NDEGE TAUSI

| THE BEST © 2013. All Rights Reserved | Template Style by The Best | Design and coded by 0754893991 | Back To Top |